• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

CCM ; WILAYA YA MBINGA KUANZA KUSAJILI WANACHAMA KIELEKTRONIKI

Tarehe ya kuwekwa: February 7th, 2022

 Miaka 45 Kuzaliwa kwa chama cha mapindunz Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma ziliamabatanaa na ukaguzi wa Miradi ya uviko 19 ambapo kiwilayaa maadhimisho hayo yalifanyika kata ya Utili Halmashauri ya Mji wa Mbinga. Ikumbukwe maadhimisho hayo yamefanyika kitaifa ktika Mkoa wa Mara manispaa ya Musoma .Kikitiza miaka 45 toka kilipo zaliwa mwaka 1977. Katika maadhimisho hayo Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Ndg Oddo K. Mwisho  amesema katika ukaguzi wa miradi hiyo  kamati ya siasa ya Mkoa imekuwa ikisisitiza kuwepo na hati miliki, hususani katika taasisi zote za sarikali ili kuepusha migogoro isio ya lazima.

 Akitoa hotubayake kwa wananchi na wanachama kata ya utili marabaada ya Uzinduzi wa ujenzi wa ofisi za chama za kata Ndg Mwisho amaesema chama cha mapinduzi bado kinaendelea kujipambanua katika uzalendo wakati kaulimbiu ya maadhimisho hayo ya inasema Chama imara kinaanza na mimi shiriki uchaguzi kwa uadilifu,atahivyo kamatihiyo ya siasa Mkoa imeendea kuwapongeza watumishi na watendaji wa chama na serikali kwa kusimamia kwa uadilifu na Uzalendo miradi mbalimbali inayo endelea katika naeneoyetu.

Kwa upande mwingine mwenyekiti huyo amepongeza hatua ya chama cha mapinduzi Wilaya ya Mbinga  kwa kuanza ujezi wa nyumba za jumuhiya mbalimbali katika chama sambamba na uzinduzi wa ugawaji wa vifaa vya kusajili wanachama kwanjia ya kielektroniki hivyo amepongeza sana .  Chama cha Mapinduzi mwaka huu kitafanya uchaguzi wa viongozi hivyo kuomba viongozi wanaosimamia uchaguzi kusimamia mafunzo kwa wanachama ili kuwa na uchaguzi wa Amani na utulivu, sambamba na kuwapata viongozi waadilifu na wazuri.

Na Makangury     

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA June 04, 2025
  • TANGAZO LA KAZI August 07, 2024
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2022 January 04, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kheri ya Siku ya Mazingira Duniani

    June 05, 2025
  • Utoaji wa dawa za minyoo na vitamin A kuanza Juni 1 Mbinga Mji

    May 31, 2025
  • MBINGA MJI YAFANYA TATHIMINI YA LISHE

    May 29, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA WAWASILI MBINGA MJI

    May 26, 2025
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.