• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

KAMATI YA FEDHA YATEMBELEA MIRADI YA SH333 MILIONI

Tarehe ya kuwekwa: May 4th, 2024



Na Alex Nelson Malanga


Afisa Habari----Mbinga Mji


Mbinga. Kamati ya Fedha ya Halmashauri ya Mji wa Mbinga ikiongozana na  Wataalamu wa Halmashauri leo Mei 4, 2024 imetembelea miradi saba ya afya na mmoja wa elimu yenye thamani ya shilingi milioni 333.    


Miradi hiyo iliyotembelewa na kamati hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Kelvin Mapunda ni zahanati za Masumuni iliyopo kata ya Masumuni (Sh27 milioni), Luwaita---kata ya Luwaita (Sh50 milioni) na Kitelea--- kata ya Kilimani (Sh50 milioni).  


Zahanati nyingine ni zile za Makatani, kata ya Kagugu (Sh26 milioni), Kagugu---kata ya Kagugu (Sh50 milioni), Njomlole---kata ya Kikolo (Sh50 milioni), Lupilo---kata ya Kitanda (Sh40 milioni) na ujenzi wa madarasa mawili katika shule ya Msingi Utiri, kata ya Utiri (Sh40 milioni).


Mhe. Mapunda alisema kati ya zahanati saba zilizotembelewa na kamati, tano ambazo ni Masumuni, Luwaita, Kagugu, Makatani na Kitelea zinatarajiwa kufunguliwa kabla ya mwezi Mei 30, 2024.


“Tumeona ni vema kabla ya tarehe 30 mwezi huu tukafungua zahanati tano ambazo ujenzi wake umekamilika na kwa hizo zilizosalia tunatamani zifunguliwe mwishoni mwa mwezi huu,” alisema Mhe. Mapunda.


Alisema haraka iwezekanavyo Halmashauri itapeleka pesa kwaajili ya umaliziaji wa ujenzi wa zahanati hizo.


Aliongeza: “Ni dhamira yetu kusogeza huduma karibu kwa wananchi. Hatutaki kuona wananchi wanatembea umbali mrefu kufuata matibabu. Lazima tuendelee kutekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi ili tuingie kwenye uchaguzi tukiwa vizuri zaidi."

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA June 04, 2025
  • TANGAZO LA KAZI August 07, 2024
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2022 January 04, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kheri ya Siku ya Mazingira Duniani

    June 05, 2025
  • Utoaji wa dawa za minyoo na vitamin A kuanza Juni 1 Mbinga Mji

    May 31, 2025
  • MBINGA MJI YAFANYA TATHIMINI YA LISHE

    May 29, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA WAWASILI MBINGA MJI

    May 26, 2025
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.