• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

WANANCHI MJI MBINGA WATAKIWA KUSHIRIKI MIRADI YA BOOST

Tarehe ya kuwekwa: August 2nd, 2024

 


Na Alex Nelson Malanga


Afisa Habari----Mji Mbinga


Mbinga. Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga wametakiwa kushiriki ipasavyo katika utekelezaji wa miradi ya BOOST yenye thamani ya Sh419.1 milioni kwa kutoa nguvu kazi.


Serikali kupitia mradi wa uboreshaji elimu ya awali na msingi (BOOST), imeipatia Mji Mbinga kiasi hicho cha fedha kwaajili ya ujenzi wa madarasa 15 na matundu 30 ya vyoo katika shule za msingi Beruma, Masumuni, Nazareth, Changarawe na Luhangai.


Akizungumza siku ya Ijumaa katika shule ya msingi Nazareth, Bw. Xavery Mwihava, Afisa Elimu Takwimu, Idara ya Elimu ya Awali na Msingi, Halmashauri ya Mji Mbinga, alisema kuwa nguvu za wananchi zitaokoa fedha ambazo zingetumika kuajiri vibarua.


Alisema badala ya kutafuta kibarua kufanya shughuli ndogo ndogo kama kusafisha eneo, kuchimba msingi, kusogeza maji na matofali, wananchi wanapaswa kufanya wenyewe ili pesa itakayookolewa isaidie shughuli nyingine za ujenzi.


“Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetupatia pesa, shukrani yetu ni kwa sisi kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi,” alisema Bw. Mwihava.


Bw. Mwihava aliye mwakilishi Afisa Elimu Awali na Msingi, Halmashauri ya Mji wa Mbinga, katika utambulisho wa miradi ya BOOST aliongeza: “Hii miradi ni yenu, hivyo mnapaswa kuonesha  uzalendo wa hali ya juu.|


Alisisitiza kuwa wananchi wanapaswa kushirikiana na walimu, kamati ya shule na uongozi wa Serikali ya mtaa ili miradi itekelezwe kwa ubora zaidi.


“Inatakiwa tuimbe wimbo mmoja, haitapendeza wananchi kuwaachia walimu, kamati ya shule au serikali ya mtaa peke yao, ” alisisitiza.


Miradi ya BOOST itakayotekelezwa mwaka huu wa fedha ni ujenzi wa madarasa manne na matundu sita ya vyoo Shule ya Msingi Changarawe (Sh106.2 milioni) na madarasa matatu na matundu sita ya vyoo Shule ya Msingi Nazareth (Sh82.2 milioni).


Miradi mingine ni ujenzi wa madarasa matatu na matundu sita ya vyoo Shule ya Msingi Masumuni (Sh82.2 milioni) na madarasa matatu na matundu sita ya vyoo Shule ya Msingi Beruma (Sh82.2 milioni).


Pia mradi mwingine utakaotekelezwa ni ule wa ujenzi wa madarasa mawili ya mfano ya elimu ya awali na matundu sita ya vyoo Shule ya Msingi Luhangai (Sh66.3 milioni).

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA June 04, 2025
  • TANGAZO LA KAZI August 07, 2024
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2022 January 04, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kheri ya Siku ya Mazingira Duniani

    June 05, 2025
  • Utoaji wa dawa za minyoo na vitamin A kuanza Juni 1 Mbinga Mji

    May 31, 2025
  • MBINGA MJI YAFANYA TATHIMINI YA LISHE

    May 29, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA WAWASILI MBINGA MJI

    May 26, 2025
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.