• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School

DC MBINGA AZINDUA CHANJO YA UVIKO 19 LEO SEPT 6 /2021

Tarehe ya kuwekwa: August 6th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mhe Aziza Ally Mangosongo leo amaezindua chanjo ya uviko 19 katika Wilaya hiyo, Wakishiriki Wenyeviti wa Halmashauri hizo  Wakuu wa idara  na taasisi binafsi, na baadhi  wafanya biashara. Atahivyo Mkuu huyo wa Wilaya ametoa maelekezo kwa  Viongozi  kuzingatiwa katika wimbi la tatu la Uviko 19 na wananchi kwa ujumla. Viongozi wa ngazi zote kuwamfano kwa  wananchi kuchua taadhali  dhidi ya Uviko 19.Taasisi mbalimbali  kuakikishisha zinasimamia watumishi kutekeleza  hatua za kuzingatia kujikinga na maambukizi ya Uviko 19 na sio kuleta hofu na kutumia nguvu  bali kutoa elimu kwa watumishi.

Taasisi kuakikisha upatikanaji wa vifaa tiba kama barakoa kwa watumishi ,kuwepo na maji tiririka na sabuni pamoja na vipukusa mikono (sanitizer). Vilevile Mkuu huyo ya Wilaya amesisitiza taasisi kupunguza misongamano ya watu sehemu za kazi pasipo kuathili utendeji kazi  wa kila siku na shughuli za kiuchumi. Kwa upande mwingine  Mhe Aziza  amezitaka Halmashauri hizo kuahakikisha maeneo ya uma  kama Standi za mabasi ,malori ,Bajaji , Bustani za kupumzika  Masoko ,Sehemu za Burudani ,Misikiti na Makanisa yanakuwa na Maji tiririka na sabuni na vinatumika kwa ipasavyo.

Ataivyo Mkuu huyo ameenedela kusisitiza  jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani kuakikisha mabasi hayasimamishi abilia, na kitengo cha uamiaji kuwachunguza wageni wanaoingia kutumia mipaka yetu itasaidia kuwabaini wageni waliona uviko 19 na kupewa huduma zinazo staihiki kwa wakati . Vituo vya kutolea huduma za  afya kama Hospital kupunguza masongamano usio wa lazima kwa ndugu jamaa na marafiki wanaofika kuwaona wagonjwa wao kwa wakati mmoja, angalau afike  mmoja ili kuepusha misongamano hiyo.   

Katika zoezi hilo la utambulishaji chanjo ya Uviko 19, Mkuu huyo wa Wilaya aliwaongoza viongozi, wa Halmashauri zote, Taasisi Wakuu wa idara na  vitengo, baadhi ya madiwani na watendaji kata ,kupata  kupata chanjo hiyo . Ataivyo utekelezaji wa upatikanaji wa chanjo, unaendelea kwa kila Halmashauri kuwa  vituo ili kurahisisha wananchi kupata chanjo hiyo kwa urahisi. Ikumbukwe chanjo hiyo ni ya hiyari kwa kila mtu, hivyo nujuku la kila mtu kuchukua taadhali dhidi ya Uviko 19  

Na Makangury     

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 15, 2022
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA KUKUSANYA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI February 16, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC MBINGA ; Wazazi Msiwashawishi Watoto kufeli Mitihani ya Mwisho

    June 22, 2022
  • Mwenge wa Uhuru 2022: Halmashauri ya Mji wa Mbinga yafanya vizuri

    April 12, 2022
  • MADIWANI HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA WAPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KIASI CHA TSHS BILIONI 25.34

    February 22, 2022
  • IDARA YA ELIMU SEKONDARI YAWEKA MIKAKATI NAMNA YA KUONGEZA UFAHURU HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA

    February 12, 2022
  • Tazama zote

Video

Pongezi
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: +225 – 2640664

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.