• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

DC MBINGA AZINDUA CHANJO YA UVIKO 19 LEO SEPT 6 /2021

Tarehe ya kuwekwa: August 6th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mhe Aziza Ally Mangosongo leo amaezindua chanjo ya uviko 19 katika Wilaya hiyo, Wakishiriki Wenyeviti wa Halmashauri hizo  Wakuu wa idara  na taasisi binafsi, na baadhi  wafanya biashara. Atahivyo Mkuu huyo wa Wilaya ametoa maelekezo kwa  Viongozi  kuzingatiwa katika wimbi la tatu la Uviko 19 na wananchi kwa ujumla. Viongozi wa ngazi zote kuwamfano kwa  wananchi kuchua taadhali  dhidi ya Uviko 19.Taasisi mbalimbali  kuakikishisha zinasimamia watumishi kutekeleza  hatua za kuzingatia kujikinga na maambukizi ya Uviko 19 na sio kuleta hofu na kutumia nguvu  bali kutoa elimu kwa watumishi.

Taasisi kuakikisha upatikanaji wa vifaa tiba kama barakoa kwa watumishi ,kuwepo na maji tiririka na sabuni pamoja na vipukusa mikono (sanitizer). Vilevile Mkuu huyo ya Wilaya amesisitiza taasisi kupunguza misongamano ya watu sehemu za kazi pasipo kuathili utendeji kazi  wa kila siku na shughuli za kiuchumi. Kwa upande mwingine  Mhe Aziza  amezitaka Halmashauri hizo kuahakikisha maeneo ya uma  kama Standi za mabasi ,malori ,Bajaji , Bustani za kupumzika  Masoko ,Sehemu za Burudani ,Misikiti na Makanisa yanakuwa na Maji tiririka na sabuni na vinatumika kwa ipasavyo.

Ataivyo Mkuu huyo ameenedela kusisitiza  jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani kuakikisha mabasi hayasimamishi abilia, na kitengo cha uamiaji kuwachunguza wageni wanaoingia kutumia mipaka yetu itasaidia kuwabaini wageni waliona uviko 19 na kupewa huduma zinazo staihiki kwa wakati . Vituo vya kutolea huduma za  afya kama Hospital kupunguza masongamano usio wa lazima kwa ndugu jamaa na marafiki wanaofika kuwaona wagonjwa wao kwa wakati mmoja, angalau afike  mmoja ili kuepusha misongamano hiyo.   

Katika zoezi hilo la utambulishaji chanjo ya Uviko 19, Mkuu huyo wa Wilaya aliwaongoza viongozi, wa Halmashauri zote, Taasisi Wakuu wa idara na  vitengo, baadhi ya madiwani na watendaji kata ,kupata  kupata chanjo hiyo . Ataivyo utekelezaji wa upatikanaji wa chanjo, unaendelea kwa kila Halmashauri kuwa  vituo ili kurahisisha wananchi kupata chanjo hiyo kwa urahisi. Ikumbukwe chanjo hiyo ni ya hiyari kwa kila mtu, hivyo nujuku la kila mtu kuchukua taadhali dhidi ya Uviko 19  

Na Makangury     

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA June 04, 2025
  • TANGAZO LA KAZI August 07, 2024
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2022 January 04, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kheri ya Siku ya Mazingira Duniani

    June 05, 2025
  • Utoaji wa dawa za minyoo na vitamin A kuanza Juni 1 Mbinga Mji

    May 31, 2025
  • MBINGA MJI YAFANYA TATHIMINI YA LISHE

    May 29, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA WAWASILI MBINGA MJI

    May 26, 2025
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.