• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Government Web Framework

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

GEUZA WAIBUKA KIDEDEA TAMASHA LA WAMATENGO

Tarehe ya kuwekwa: November 1st, 2023

Na Erasto George, Rahma Mwaka & Elizabeth Newa


Mbinga.  Kikundi cha ngoma za asili (Mganda) cha Geuza kutoka kijiji cha Agati kilichopo Halmashauri ya Mji wa Mbinga kimeibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya ngoma za asili yaliyofanyika katika tamasha la wamatengo.


Kikundi hicho kilitumbuiza katika tamasha hilo  lililofanyika Jumatatu ya Oktoba 30, 2023 katika kijiji cha Mtama, kata ya Utiri ambapo waliweza kujikusanyia alama 91.7 kutoka kwa jopo la majaji wanne na kujinyakulia kitita cha shilingi 100,000.


Kikundi cha mganda kutoka kijiji cha Litumbandyosi walishika nafasi ya pili wakiwa na alama 84 na kujichukulia shilingi 70,000 huku washindi wa tatu wakiwa ni Mhambo kutoka kata ya Nyoni waliopata alama 81 na kuondoka na shilingi 50,000.


Washindi wa kwanza na wa pili walioonekana kuwa nadhifu kutokana na mavazi safi (kaptula nyeupe, mashati meupe, mikanda myeusi, viatu vyeusi na soksi nyeupe) waliyokuwa wamevaa.


Kwa hakika walikuwa nadhifu, hakika walicheza kwa madoido, kwa hakika walistahili ushindi.

Katika mashindano hayo majaji walitumia vigezo vitano kuwachagua washindi.


 Vigezo vilivyozingatiwa na alama kwenye mabano ni wimbo kulingana na tukio (25%), madoido katika uchezaji (25%), matumizi ya muda (20%), matumizi ya zana (20%) na unadhifu wa mavazi (10%).  


Washiriki wengine wa mashindano hayo ni Mganda kutoka Kijiji cha Mtama na Lipumba na ngoma ya kioda kutoka Kata ya Masumuni, na Namswea ambavyo vilizawadiwa shilingi 20,000 kwa kila kikundi.


Mbali na zawadi hizo mbunge wa Mbinga Mjini Mhe. Jonas Mbunda, na Mhe. Benaya Kapinga wa Mbinga Vijijini walitoa shilingi 30,000 kwa kila kikundi cha ngoma kilichoshiriki  katika tamasha hilo.


Pesa hizo ziliwasilishwa kwa niaba, na aliyekuwa mgeni rasmi katika tamasha hilo Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Damas Ndumbaro.

Matangazo

  • KUITWA KATIKA USAHILI October 13, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA June 04, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 13, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kambi ya madaktari Bingwa wa Dkt Samia Suluhu Hassan yaendelea kutoa Huduma Halmashauri ya Mji Mbinga

    September 24, 2025
  • KISHINDO CHA MHE.RAIS.DKT. SAMIA SULUHU HASSAN MBINGA MJI KATIKA MIRADI YA ELIMU

    August 29, 2025
  • KISHINDO CHA MHE.RAIS.DKT. SAMIA SULUHU HASSAN MBINGA MJI KATIKA MIRADI YA ELIMU

    August 29, 2025
  • KISHINDO CHA MHE.RAIS,DKT. SAMIA SULUHU HASSAN MBINGA MJI KATIKA MIRADI YA ELIMU

    August 29, 2025
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki