• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

LUTENI MWAMBASHI ALIDHISHWA NA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO WILAYA YA MBINGA

Tarehe ya kuwekwa: September 5th, 2021

Kiongozi wa Mbio maalum za Mwenge wa Uhuru mwaka 2021 Lt. Josephine P. Mwambashi amezipongeza Halmashauri za Wilaya ya Mbinga kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa miradi yote ya maendeleo iliyotembelewa na Mwenge huo. Mwenge maalum  wa Uhuru umekimbizwa Wilayani Mbinga marabaada ya kupokelewa katika kijiji cha Mkako alfajili ya tarehe 4 Septemba2021 ukitokea Wilaya ya Namtumbo na kukabidhiwa leo Septemba 5  Wilayani Nyasa katika Kijiji cha Mkalole ambapo ukiwa Wilayani Mbinga umetembelea jumla ya miradi nane yenye thamani yaTshs. Bilioni 3.14 kutoka Halmashauri zote mbili za Wilaya na Mji wa Mbinga.

Akikabidhi Mwenge maalumu wa Uhuru  leo tarehe 5 Septemba 2021 kwa Halmashauri Wilaya ya Nyasa  Mkuuwa Wilaya ya Mbinga Mhe:  Aziza Ally Mangosongo amesema miradi iliyopitiwa na Mwenge maalumu wa Uhuru katika Wilaya ya Mbinga ni kuwekajiwe la msingi Mradi wa ujenzi wa tenki la  Maji Lusaka ambapo kukamilika kwa mradihuo kutaghalimu Tshs.Bilioni 1.41 , kufunguliwa kwa kituo cha Redio Hekima FM, ufunguzi wa Nyumba ya Mkurugenzi wa Mji ambayo imeghalimu Tshs; Milioni 300, pamoja na mradi wa Barabara ya Lami ya Mbuyula inayotekelezwa na Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini TARURA  Wilaya ya Mbinga ukighalimu kiasi cha Tshs.Milioni 553.8.

Amesema Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imetembelewa na miradi ya Klabu ya wapinga rushwa shule ya wasichana Mbinga ,jengo la Udhibiti ubora wa Elimu lenye thamani yaTshs.Milioni 181.8 ambaloli mezinduliwa. Pia kuweka jiwe la msingi katika ujenziwa Hospitali ya Halmashauri ambao unataraji kughalimu kiasi cha Tshs. Milioni 500 katika awamu ya kwanza ya utekelezaji wake unaotarajiwa kukamilika Disemba mwaka huu 2021.

Atahivyo Kiongozi wa Mbio maalum za Mwenge Lt. Josephine P.Mwambashi amekagua Kikundi cha Vijana cha Chipukizi kinachojishughulisha na ufyatuajiwa tofali za zege ambacho pia nimoja kati ya vikundi vilivyowezeshwa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kupitia mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri hiyo kwakupatiwa mkopo waTshs. Milioni 22 kwa mwaka wa fedha 2020/2021.  Luteni Mwambashi amewapongeza sana Wilaya ya Mbinga kwa kukubaliwa miradi yote iliyotembelewa na Mwenge maalumu wa Uhuru, hivyo amesistiza kuendelea kusimamia miradi inayoendelea na ujenzi na kuhakikisha inamalizika kwawakati

Na Makangury

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJIBU YA USAILI WA UDEREVA MAFUNZO KWA VITENDO June 20, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA June 04, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 13, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Wajasiriamali Mbinga Mji washiriki Maonesho ya Sabasaba

    July 08, 2025
  • Mazoezi ya Viungo Mbinga Tc

    July 08, 2025
  • Kheri ya Sikukuu ya Sabasaba

    July 07, 2025
  • Mkurugenzi Halmashauri ya Mbinga Mji atembelea Maonesho ya Sabasaba Jijini Dar es salaam

    July 05, 2025
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.