• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School

MADIWANI HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA WAPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KIASI CHA TSHS BILIONI 25.34

Tarehe ya kuwekwa: February 22nd, 2022

Baraza la Madiwani  Halmashauri ya mji wa mbinga, limepitisha rasimu ya mpango wa bajet kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kiasi cha Tsh ; Bilion 25.34, akisoma rasimu hiyo afisa mipango wa Halmashuri hiyo  Ndg Donald Msigwa  amesema   bajeti hiyo ni ongezeko la asilimia 8.3 ambapo awali makadirio kwa mwaka wa fedha  2021 yalikuwa Bilioni 23.38. Atahivyo madiwani hao wameshauri baraza hilo kuongeza vyanzo vya mapato ikiwemo mizani kwakuwa biashara nyingi za ubebaji wa mizigo zimekuwa zikifanyika na kupita katika maeneo hayo  hususani biashara ya ubebaji wa mbao, mazao mbalimbali na makaa ya mawe kutoka Nyasa    

Kwaupande wake Mbunge wa Mbinga Mjini Mhe Jonas Mbunda amewapongeza madiwani hao kwa kuonyesha nia ya kuongeza vyanzo  vya ukusaji wa mapato, ambapo amaesaema kwa kufanya hivyo kutasaidia kuipanga bajeti katika Halmashauri hiyo,  hivyo akaomba madiwani kupewa muda wa kujadili vyanzi vya mapato ili wafikapo katika vikao vya bajeti waweze kuchakata bajeti kwa ufasaa   

Na Makangury

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA KUKUSANYA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI February 16, 2022
  • Collection of Own Sources January 14, 2019
  • TANGAZO MAALUMU KWA WAMILIKI WA VIBANDA STENDI KUU YA MABASI MBINGA MJINI November 12, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 23, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru 2022: Halmashauri ya Mji wa Mbinga yafanya vizuri

    April 12, 2022
  • MADIWANI HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA WAPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KIASI CHA TSHS BILIONI 25.34

    February 22, 2022
  • IDARA YA ELIMU SEKONDARI YAWEKA MIKAKATI NAMNA YA KUONGEZA UFAHURU HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA

    February 12, 2022
  • CCM ; WILAYA YA MBINGA KUANZA KUSAJILI WANACHAMA KIELEKTRONIKI

    February 07, 2022
  • Tazama zote

Video

Pongezi
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: +225 – 2640664

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.