• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

MBINGA MJI YADHAMIRIA KUTOKOMEZA UDUMAVU

Tarehe ya kuwekwa: May 29th, 2024


Na Alex Nelson Malanga


Afisa Habari----Mbinga Mji


Mbinga. Halmashauri ya Mji wa Mbinga imeishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya uongozi wa mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya lishe duni na tatizo la udumavu.


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga Bi. Amina Seif Mei 29, 2024, alisema Serikali ya awamu ya sita imerahisisha upatikanaji wa vibao vya kupimia urefu watoto chini ya miaka mitano ili kurahisisha ufuatiliaji wa maendeleo ya ukuaji wa watoto hao.


 Katika juhudi za kutokomeza udumavu kwa watoto, Halmashauri ya Mji wa Mbinga imetumia kiasi cha shilingi milioni 3.5 kama mapato ya ndani kununua vibao 14 vya kupimia urefu watoto katika vituo vya kutolea huduma za afya.


Bi. Amina alisema hapo awali kulikuwa na vibao 15 tu vya kupimia urefu katika vituo 25 vinavyotoa huduma ya mama na mtoto katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga.


Hivyo Ununuzi wa vibao vingine 14 vinavyopelekwa kwenye vituo vya afya vya Myangayanga, Luhehe, Masimeli, Mkwaya, St. Martin Depores, Kikolo, Ruvuma Chini, Tukuzi, Umati na St. Gabriel, utapelekea vituo vyote 25 kuwa na vibao.


Uwepo wa vibao hivyo utasaidia watoto watakaokuwa wanapata huduma za kliniki katika vituo vyote vya afya vinavyotoa huduma ya mama na mtoto katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga kupimwa urefu kila baada ya miezi mitatu kama muongozo unavyoelekeza.


“Hii itasaidia kubaini watoto ambao wapo kwenye hatari ya kudumaa na hivyo kuwafuatilia kwa ukaribu na pia kuwapatia wazazi wao ushauri wa ulishaji bora ili kupunguza tatizo la udumavu,” alisema Bi. Amina katika ofisi za Halmashauri ya Mji wa Mbinga.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA June 04, 2025
  • TANGAZO LA KAZI August 07, 2024
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2022 January 04, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kheri ya Siku ya Mazingira Duniani

    June 05, 2025
  • Utoaji wa dawa za minyoo na vitamin A kuanza Juni 1 Mbinga Mji

    May 31, 2025
  • MBINGA MJI YAFANYA TATHIMINI YA LISHE

    May 29, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA WAWASILI MBINGA MJI

    May 26, 2025
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.