• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

Mwenge wa Uhuru 2022: Halmashauri ya Mji wa Mbinga yafanya vizuri

Tarehe ya kuwekwa: April 12th, 2022

Miradi mine yenye thamani ya Tsh milioni 681.9 imezinduliwa na mmoja kuwekwa jiwe la msingi na Mwenge wa uhuru 2022, katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga Mkoani Ruvuma. Akifungua kiwanda cha kusindika unga cha AMNEC SUPER SEMBE kilichopo kata ya Utiri Halmashauri ya Mji wa Mbinga, kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa 2022  Ndg Sahili Nyanzabara Geraruma amempongeza mwekezaji wa kiwanda hicho Ndg Julius Mashauri kwa uthubutu wake wa kuweza kutoa ajira kwa vijana na kutoa rai kwa wafanya biashara kuendelea  kuwekeza ili kutoa ajira zaidi katika Halmashauri hiyo.

Aidha Ndg Geraruma amemshukuru kiongozi wa dini wa jimbo katoliki la mbinga Mhasham Baba Askofu John Ndimbo kwa ujenzi wa jingo la OPD kwaajili ya upanuzi wa huduma ya afya, ikiwa nisehemu ya ujezi wa mradi wa kituo cha afya cha Mtakatifu Gabriel na kumuomba kuzingatia garama za matibabu zenye unafuu kwa wanachi.  Sambamba na kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa kituo hicho cha Afya, pia kiongozi huyo wa Mwenge kitaifa 2022 alishiriki zoezi la kugawa vyandarua vilivyo andaliwa na kituo hicho na kusisitiza wakavitumie vyema, ikiwa nisehemu ya kaulimbiu ya Mwenge ya kudumu isemayo “Ziro malaria inaanza na mimi nachukua hatutua kuitokomeza”.

“Sensa ni msingi wa mipango ya maendeleo; shiriki kuhesabiwa, tuyafikie Maendeleo ya Taifa”. Nikaulimbiu ya mwenge wa uhuru 2022 ambapo zoezi la uwekaji Amwani ya makazi na postikodi ilimekuwa likiendelea, hivyo kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge kitaifa katika uzinduzi wa zoezi hilo  akapatanafasi na kutoa rai kwa wananchi kujitokeza katika Sensa ya watu na makazi, itakayo fanyika Agosti 22  2022. Miradi mingine iliyo funguliwa ni pamoja na TCRP 5441 (UVIKO-19) ambapo Shule ya sekondari Luhuwiko moja kati ya shule ambayo ikiwakilisha, kwa kufunguliwa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa, vilivyo ghalimu Tsh Milioni 40. Aitha mradi mwingine ni  Klabu ya wapinga Rushwa Wanafunzi wa chuo cha Maendeleo Mbinga FDC.

Sambamba na hayo, kiongozi huyo wa Mwenge amewakumbusha vijana kuunda vikundi vya ujasiliamali ili kuendelea kupata mikopo isiyo na riba kutoka Halmashauri inayo tokana na asilimia kumi ili kujiimarisha uchumi na kuleta maendeleo kwa Taifa. Hayo ameyasema marabaada ya kutembelea kikundi cha vijana Tujikwamue kwalengo la kukabidhi pikipiki kwa kikundi hicho  na kubaini baadhi ya mapungufu ivyo kushauri vijana hao wapewe mafunzo ya kutosha ya uendeshaji  ili waweze kuwa mahili katika biashara ya usafirishaji, maarufu kama bodaboda.

Na Makangury                      

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA June 04, 2025
  • TANGAZO LA KAZI August 07, 2024
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2022 January 04, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kheri ya Siku ya Mazingira Duniani

    June 05, 2025
  • Utoaji wa dawa za minyoo na vitamin A kuanza Juni 1 Mbinga Mji

    May 31, 2025
  • MBINGA MJI YAFANYA TATHIMINI YA LISHE

    May 29, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA WAWASILI MBINGA MJI

    May 26, 2025
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.