• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School

RC RUVUMA ; MBINGA MJI HATI SAFI MARA TANO MFULULIZO HONGERA SANA

Tarehe ya kuwekwa: June 29th, 2022

Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga wamepongezwa kwa kuweza kutenga na  kutoa fedha kwa asiliamia miamoja kwa  makaundi maalaum Wanawake Vijana na Watu wenye ulemavu. Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe; Brig. Balozi Wilbert Ibuge wakati wa kikao cha baraza maalumu la kupitia na kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu  wa hesabu za Serikali katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga. Sambamba na hayo Mkuu huyo wa Mkoa ameendelea Kuipongeza Halmashauri hiyo kwa kuvuka lengo la makusanyo ya Mapato ya ndani, kufikia asilimia miamoja na tisa, awali Halmashauri hiyo ilikadiria kukusanya kiasi cha Tsh Billion 1,787,202,000 na wamekusanya Tshs Bilion 1,953,688,334 sawa na asilimia 109.

Mkuu huyo wa Mkoa ameendelea kuipongeza Halmashauri hiyo kwa kuendelea kupata Hati safi kwa  miaka mitano mfululizo  na kusema hii ni ishara nzuri kiutendaji na usimamizi mzuri wa mapato na matumizi ya fedha za Serikali. Sambamba na kupata Hati safi Balozi Ibuge amesisitiza usimamizi wenye ueledi na kuahakikisha watendaji wanazuia hoja kwa kufuata miongozo, sheria  na kanuni za matumizi ya fedha za umma.   Hata hivyo ameongeza na kusisitiza kuendelea kufuta hoja na mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali na kuzimaliza ifikapo mwezi wa tisa.

Kwa Upande wake Kaimu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe: David Mapunda amemshukuru Mkuu huyo wa Mkoa na kuhaidi kuyatekeleza maelekezo aliyoyatoa  akishirikiana madiwani na wataalamu wa Halmashauri hiyo. Hata hivyo Mhe: David amesisitiza kwa madiwani kuendelea kusimamia ukusanyaji wa mapato ili kuendelea kufanya vizuri zaidi katika eneo hilo.

Na Makangury    

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 15, 2022
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA KUKUSANYA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI February 16, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC RUVUMA ; MBINGA MJI HATI SAFI MARA TANO MFULULIZO HONGERA SANA

    June 29, 2022
  • DC MBINGA ; Wazazi Msiwashawishi Watoto kufeli Mitihani ya Mwisho

    June 22, 2022
  • Mwenge wa Uhuru 2022: Halmashauri ya Mji wa Mbinga yafanya vizuri

    April 12, 2022
  • MADIWANI HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA WAPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KIASI CHA TSHS BILIONI 25.34

    February 22, 2022
  • Tazama zote

Video

Pongezi
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: +225 – 2640664

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.