• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

RC RUVUMA ; MBINGA MJI HATI SAFI MARA TANO MFULULIZO HONGERA SANA

Tarehe ya kuwekwa: June 29th, 2022

Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga wamepongezwa kwa kuweza kutenga na  kutoa fedha kwa asiliamia miamoja kwa  makaundi maalaum Wanawake Vijana na Watu wenye ulemavu. Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe; Brig. Balozi Wilbert Ibuge wakati wa kikao cha baraza maalumu la kupitia na kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu  wa hesabu za Serikali katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga. Sambamba na hayo Mkuu huyo wa Mkoa ameendelea Kuipongeza Halmashauri hiyo kwa kuvuka lengo la makusanyo ya Mapato ya ndani, kufikia asilimia miamoja na tisa, awali Halmashauri hiyo ilikadiria kukusanya kiasi cha Tsh Billion 1,787,202,000 na wamekusanya Tshs Bilion 1,953,688,334 sawa na asilimia 109.

Mkuu huyo wa Mkoa ameendelea kuipongeza Halmashauri hiyo kwa kuendelea kupata Hati safi kwa  miaka mitano mfululizo  na kusema hii ni ishara nzuri kiutendaji na usimamizi mzuri wa mapato na matumizi ya fedha za Serikali. Sambamba na kupata Hati safi Balozi Ibuge amesisitiza usimamizi wenye ueledi na kuahakikisha watendaji wanazuia hoja kwa kufuata miongozo, sheria  na kanuni za matumizi ya fedha za umma.   Hata hivyo ameongeza na kusisitiza kuendelea kufuta hoja na mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali na kuzimaliza ifikapo mwezi wa tisa.

Kwa Upande wake Kaimu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe: David Mapunda amemshukuru Mkuu huyo wa Mkoa na kuhaidi kuyatekeleza maelekezo aliyoyatoa  akishirikiana madiwani na wataalamu wa Halmashauri hiyo. Hata hivyo Mhe: David amesisitiza kwa madiwani kuendelea kusimamia ukusanyaji wa mapato ili kuendelea kufanya vizuri zaidi katika eneo hilo.

Na Makangury    

Matangazo

  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2022 January 04, 2023
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2022 January 04, 2023
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2022 January 04, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA ATAKA KASI ZAIDI NA VIWANGO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    September 22, 2023
  • WATUMISHI WA HOSPITALI YA MBUYULA WATAKAOKIUKA MAADILI YA KAZI YAO KUCHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA

    September 21, 2023
  • MHE. ALEX ANDOYA ACHAGULIWA KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA

    September 18, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MBINGA NA YA MJI WA MBINGA ZATOA MIKOPO YA SHILINGI BILIONI 2.24 KWA WANANCHI WAKE

    September 14, 2023
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.