• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

USAJILI WA WAKULIMA KIDIJITALI WAFIKIA ASILIMIA 64.7

Tarehe ya kuwekwa: July 26th, 2024


Na Alex Nelson Malanga


Afisa Habari----Mji Mbinga


Mbinga.  Usajili wa wakulima kidijitali katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga umefikia asilimia 64.7, taarifa kutoka Idara ya Kilimo ya  Halmashauri hiyo inaonesha.


Taarifa kutoka idara hiyo inaonesha kuwa tangu zoezi la usajili lianze katika msimu wa kilimo wa 2022/23, tayari wakulima 23,222 kati ya 35,876 wamejisajili katika mfumo huo wa kidijitali.


Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga Dkt. Kung’e Nyamuryekung’e Ijumaa ya Julai 26 alisema kuwa kwa kujisajili kidijitali, wakulima wataweza kupata huduma mbalimbali kiurahisi.


Alisema miongoni mwa huduma ambazo wakulima watapata kupitia kanzidata ya usajili ni mbolea za ruzuku, ugani na taarifa za masoko.


Sanjari na faida hizo, usajili wa wakulima kwenye mfumo, utaiwezesha Serikali kuweka mipango ya kuendeleza wakulima na sekta ya kilimo kwa ujumla.


“Kwa kujisajili katika mfumo wa kidijitali mtaweza kununua mbolea kwa bei nafuu, mtaongeza uzalishaji na kuboresha maisha yenu na uchumi wa nchi yetu kwa ujumla,” alisema Dkt. Nyamuryekung’e.


Sekta ya kilimo ambayo ndio muhimili wa uchumi wa Tanzania, kwa mujibu wa taarifa kutoka wazara ya Kilimo, mwaka jana iliajiri asilimia 65.6 ya nguvu kazi ya Taifa na kuchangia asilimia 26.5 kwenye pato la Taifa.


Ni katika muktadha huo, Dkt. Nyamuryekung’e aliwasihi wakulima wa Mji Mbinga ambao bado hawajajisajili kwenye mfumo wa kidijitali, wafanye hivyo ili waweze kusaidiwa kwa urahisi na Serikali na hivyo kuongeza mchango wao kwenye uchumi wa nchi.


Alisema zoezi la usajili, ambalo ni bure, linafanywa na maafisa kilimo wa vijiji au kata.


Taarifa zinazohitajika, alieleza, ni kitambulisho cha Taifa au namba ya NIDA, mahali shamba lilipo, aina ya mazao yanayo limwa na ukubwa wa shamba.


Katika mazingira ambayo kilimo ndio sekta kuu ya uchumi, maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla, yanategemea zaidi ufanisi katika sekta hiyo.


Na ndio maana serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeonesha dhamira ya dhati ya kufanya mapinduzi katika sekta hiyo.


Hii inadhihirishwa na kuongezeka kwa bajeti ya Wizara ya Kilimo kutoka Sh294.16 bilioni mwaka wa fedha 2021/22 hadi Sh1.25 tirioni mwaka huu wa fedha.


Sehemu ya bajeti ya wizara inatumika kutoa ruzuku kwa wakulima ili waweze kununua mbolea kwa bei nafuu.


Hatua hii ni muhimu katika kuwezesha uzalishaji wenye tija na hivyo kuwa chachu ya kuongeza kipato kwa mkulima mmoja mmoja na pato la Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA June 04, 2025
  • TANGAZO LA KAZI August 07, 2024
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2022 January 04, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kheri ya Siku ya Mazingira Duniani

    June 05, 2025
  • Utoaji wa dawa za minyoo na vitamin A kuanza Juni 1 Mbinga Mji

    May 31, 2025
  • MBINGA MJI YAFANYA TATHIMINI YA LISHE

    May 29, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA WAWASILI MBINGA MJI

    May 26, 2025
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.