• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School

MKUU WA WILAYA NA MKURUGENZI MBINGA MJI WATUNUKIWA VYETI KWA UTENDAJI KAZI MZURI

Tarehe ya kuwekwa: February 19th, 2021

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Mbinga Mji Mkoani Ruvuma limempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Bi. Grace Stephen Quintine pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Ndg. Cosmas Nshenye  kwa kuwatunuku vyeti ikiwa ni sehemu ya kutambua kazi bora  zinazofanywa na wakuu hao za kuendeleza Halmashauri hiyo.

Akiwatunuku Vyeti hivyo kwenye kikao cha baraza la Madiwani ,Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Ndg. Kelvin Mapunda amesema kuwa Madiwani kwa pamoja wametambua  kazi zinazofanywa na wakuu hao na kuamua kuwatunuku vyeti hivyo  ambavyo vitakuwa ni kumbukumbu katika maisha yao.

Akizungumza kwenye kikao cha baraza hilo ambacho kimehudhuriwa na Mbunge wa Jimbo la Mbinga mjini Jonas Mbunda pamoja na waalikwa mbalimbali viongozi wa chama na Serikali na wakidini akiwemo Askofu wa Jimbo la Mbinga mhashamu John Ndimbo, Mwenyekiti Mapunda amesema kuwa licha ya kuwatunuku vyeti hivyo lakini bado Madiwani hao wamewapatia wakuu hao kila mmoja kiwanja cha kujenga makazi (Nyumba) .



Matangazo

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE, KIDATO CHA PILI, QT NA DARASA LA NNE 2020 January 15, 2021
  • USAJILI WA VIKUNDI VYA KIJAMII VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA April 01, 2021
  • TANGAZO LA KAZI YA UKUSANYAJI USHURU WA VYOO STAND KUU April 15, 2021
  • KUITWA KWENYE USAILI November 12, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YATOA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 442 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA AFYA NA ELIMU MBINGA MJI.

    April 01, 2021
  • CHF MBINGA MJI KUWAFIKIA NA KUGAWA KADI YA BIMA YA AFYA ZAIDI YA KAYA 2443 KWA WANUFAIKA WA MFUKO HUO

    March 16, 2021
  • UFAHAMU UGONJWA WA HOMA YA INI NA JINSI UNAVYO ENEA

    March 15, 2021
  • BALAZA LA ALMASHAURI YA MBINGA MJI LAPITISHA RASIMU YA BAJET BILION 23.9 KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

    March 12, 2021
  • Tazama zote

Video

Pongezi
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: +225 – 2640664

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.