• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

DC MBINGA ; Wazazi Msiwashawishi Watoto kufeli Mitihani ya Mwisho

Tarehe ya kuwekwa: June 22nd, 2022

Wananchi wa kijiji cha mbangamao kata ya Mbangamao Halmashauri ya Mji wa Mbinga, wametakiwa kuacha tabia ya kuwashawishi watoto wafanye vibaya katika mitihani yao ya mwisho ili wasiendelee na masomo kwa maslahi yao binafsi . Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mhe Aziza Ally Mangosongo wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo na baadae kusikiliza changamoto zinazo wakabili wananchi katika kata hiyo.

Katika ziara hiyo Mkuu huyo wa Wilaya alitembelea na kukagua Miradi mitatu  ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa kituo cha afya Mbangamao, Bweni la wanafunzi Sekondari ya Mbangamao na ujenzi wa vyumba vya mawili madarasa shule ya msingi Mbangamao na kusisitiza umakini wa usimamizi katika utekelezaji wa Miradi hiyo.

Akisisitiza suala la elimu Mhe Mangosongo amesema ili kupata matokeo mazuri katika kata, ni lazima wazazi wakishirikiana na Serikali kuwasimamia watoto katika masomo na mienendo yao ili kubaini  mapema changamoto zinazoweza kuwakabaili na kuzipatia ufumbuzi. Hata hivyo amewataka wazazi kuhakikisha watoto ambao hawako katika bweni kuhamia katika bweni, ili kupunguza changamoto mbalimbli wanazoweza kuzipata  zikiwemo za  kitaaluma na hata unyanyasaji wa kijinsi hususani watoto wa kike.

Sambamba na hayo Mkuu huyo wa Wilaya amewasistiza wananchi kujitokeza tarehe 23 mwezi wa 8 kuhesabiwa katika Sensa ya watu makazi. Hata hivyo Mhe Mangosongo amewapongeza wananchi wa kata hiyo kushiriki kikamilifu katika zoezi la Anwani za makazi na postikodi kwakua nyumba zote sasa zimepatiwa namba hivyo itarahisisha zoezi la Sensa ya watu na makazi

Kwaupande mwingine Mkuu huyo wa Wilaya amewataka wananchi hao kuzingatia lishe bora ili kuepuka udumavu, kuwapeleka watoto kuanzia miaka 0 hadi 5 katika chanjo ya polyo ili wasipate ugnjwa wa kupooza, sambamba na watu kushiriki  chanjo ya Uviko-19.

Kwa upande wake Diwani wa kata hiyo Mhe Bosco Luoga amemshukuru Mhe; Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa  kuwaletea wananchi wa  kata Mbangamao mradi  mkubwa wa maji wa kiasi cha Bilion moja na milioni mianane na kusema katika kuhakikisha tunamtua mama ndoo kichwani wananchi wa kata ya Mbangamao wamefarijika sana. Kwa upande mwingine Mhe Bosco amemshuru Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Bi Grace Quintine kwa ushirikiano mkubwa wa wataalamu ngazi ya Halmashauri katika utekelezaji wa miradi mbalimbali inayoendelea katika kata yake.        

Na Makangury 

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA June 04, 2025
  • TANGAZO LA KAZI August 07, 2024
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2022 January 04, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kheri ya Siku ya Mazingira Duniani

    June 05, 2025
  • Utoaji wa dawa za minyoo na vitamin A kuanza Juni 1 Mbinga Mji

    May 31, 2025
  • MBINGA MJI YAFANYA TATHIMINI YA LISHE

    May 29, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA WAWASILI MBINGA MJI

    May 26, 2025
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.