• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School

DED MBINGA MJI ANG' ARA UKAGUZI MIRADI YA MAEDELEO

Tarehe ya kuwekwa: October 6th, 2021

Mwenyekiti  wa kamati ya siasa  Ccm Mkoa Ndg Oddo kilian Mwisho  ametoa maelekezo kwa watendaji wa kata na kijiji Mkoa wa Ruvuma kuandika taarifa na kuzibandika  kila hatua ya matumizi ya fedha katika miradi inayo tekelezwa katika maeneeo yao nakubainisha kiasicha fedha kilicho tolewa na wahisani,nguvu za wananchi pamoja na Serikali ili kuwapataarifa sahii wanachi juu ya miradi inayo endelea katika maeneo yao .Mwekiti huyo, ameyasema hayo  Wilayani mbinga halmashauri ya mbinga mji kata ya kagugu alipokukuwa akikagua mradi wa ujenzi wa zahanati.

Kamati hiyo imaeridhishwa na kwa kiwango kikubwa na usimamizi mzuri wa miradi hiyo  ya maendeleo inayo simamiwa na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Bi Grace Quintine pamoja na timu yake wakuu wa idara na vitengo katika Halmashauri hiyo. Ataivyo kamati imeendelea kutoa maagizo na kuwaomba watendaji na wanachi kumpa ushirikiano Mkurugeni huyo na timu yake  ili kuweza kukamilisha miradi hiyo kwa wakati. Miradi hiyo  ya ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa shule za msingi na Mahabara kwa Sekondari , katika kata tatu Lusonga , Luhuwiko, Mangamao sambamba na ujenzi wa Zahanati katika kata za Luwaita,Kagugu na Masumuni na kikundi cha utengezaji wa chaki cha  MORAF, ambapo zaidi ya million 200 zimetumika kutoka  mapato ya ndani ,Serikali kuu ,Mfuko wa Jimbo  na Nguvu za wananchi .

Nae kaimu katibu tawala wa Mkoa Ndg Joel Mbewa amemwakikishia mwenyekiti huyo kuwa kama Serikari wataweka uataratibu na miongozo kwa wakurugenzi ili kuondokana  na  chanagamoto, mapungufu yaliojitokeza ili kuweka uwelewa kwa wanachi juu ya utekelezaji wa miradi ya Serikali. kwa upande mwingine Ndg Mbewa amewashukuru wananchi pamoja na serikali kwa kujitoa  na kusaidia utekelezaji wa miradi hiyo

Na Makangury. 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA KUKUSANYA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI February 16, 2022
  • Collection of Own Sources January 14, 2019
  • TANGAZO MAALUMU KWA WAMILIKI WA VIBANDA STENDI KUU YA MABASI MBINGA MJINI November 12, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 23, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru 2022: Halmashauri ya Mji wa Mbinga yafanya vizuri

    April 12, 2022
  • MADIWANI HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA WAPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KIASI CHA TSHS BILIONI 25.34

    February 22, 2022
  • IDARA YA ELIMU SEKONDARI YAWEKA MIKAKATI NAMNA YA KUONGEZA UFAHURU HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA

    February 12, 2022
  • CCM ; WILAYA YA MBINGA KUANZA KUSAJILI WANACHAMA KIELEKTRONIKI

    February 07, 2022
  • Tazama zote

Video

Pongezi
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: +225 – 2640664

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.