• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School

MKURUGENZI MBINGA MJI ATEMBELEA KIKUNDI CHA MITENGA KATA YA KILIMANI

Tarehe ya kuwekwa: July 23rd, 2021

Mkurugenzi  wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga Bi Grace Quintine ametembelea kikundi cha Mitenga FFS kilichopo katika kijiji cha Sepukila kata ya kilimani Halmashauri ya Mji wa Mbinga na kukagua shuguli za kilimo cha kahawa zinazofanywa na kikundi hicho. Akisoma risala ya kikundi kwa Mkurugenzi Katibu wa kikundi hicho Ndg Magnus Mbele amesema, pamoja mafanikio waliyo ya pata zipochangamoto za uchache wa wataalamu wa kilimo hususani kata ya kilimani kulingana na ukubwa wa kata na upatikanaji wa pembejeo, hivyo kumwomba Mkurugenzi kuzitazama changamoto hizo kwa namna ya pekee ili kuweza kuzitatua

Kikundi cha Mitenga ni kikundi kinacho jishughulisha na kilimo cha kahawa, ufugaji na bustani ya uzalishaji mbegu na miche ya kahawa, aidha ubia baina ya kikundi na Halmashauri ya Mji wa Mbinga ni hatua kubwa kukiwezesha kikudi kupata mtambo wa kukoboa kahawa katika kata hiyo, ataivyo bado kikundi kinachangamoto ya upungufu wa visima vya kusindika kahawa hiyo pamoja na meza za kuanikia

Kwa upande wake Mkuurugenzi wa Halmashauri hiyo Bi Gace Quintine amemtaka mkuu wa idara ya kilimo wa Halmashauri Ndg Enock Nduguru kufanya utaratibu wa kuwaeza kupata afisa ugani ili kuwaeza kutatua changamoto ya kitaalamu kwa kikundi hicho.Ataivyo amewataka wanakukundi kuweka mahitaji hayao kwa maandishi na kuwasilisha katika ofisi ya Mkurugenzi ili kusaidi swala la ufuatiliaji na kutatua changamotohizo kwa haraka   

Na Makangury    

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 15, 2022
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA KUKUSANYA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI February 16, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC MBINGA ; Wazazi Msiwashawishi Watoto kufeli Mitihani ya Mwisho

    June 22, 2022
  • Mwenge wa Uhuru 2022: Halmashauri ya Mji wa Mbinga yafanya vizuri

    April 12, 2022
  • MADIWANI HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA WAPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KIASI CHA TSHS BILIONI 25.34

    February 22, 2022
  • IDARA YA ELIMU SEKONDARI YAWEKA MIKAKATI NAMNA YA KUONGEZA UFAHURU HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA

    February 12, 2022
  • Tazama zote

Video

Pongezi
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: +225 – 2640664

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.