• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School

KAMATI YA CCM MKOA WA RUVUMA YARIDHISHWA NA UJENZI WA MIRADI YA UVIKO 19

Tarehe ya kuwekwa: February 3rd, 2022

Akisoma taarifa fupi  kwa Mwenyekiti wa ccm Mkoa, Mkurungezi wa Halmashuri ya Mji wa Mbinga Bi Grace Quintine amesema kiasi cha Million 860 zimepokelewa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa  ujenzi wa vyumba vya madarasa 39 na bweni moja ambapo vyumba vya madarasa 34 kwa ajili ya sekondari, na vyumba vya madarasa vitano kwa ajili ya shule shikizi za msingi. Ata hivyo ameieleza kamati hiyo ya CCM mkoa, marabaada yamapokezi ya fedha hizo Halmashuri iliweza kutoataarifa katika vikao halali vya Halmashauri ikiwemo baraza la madiwani, kutoa maelekezao kwa waalimu wakuu na waalimu wasaidizi, pamoja na waasibu namna ya utekelezaji wa miradi hiyo.

Sambamba na hayo Bi Quintine ameishukuru serikali ya awamu ya tano inayo ongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassani kwa kuendelea kuboresha sekta ya elimu, hususani katika niundombinu ya kufundishia nakujifunzia na kwamba marabaada ya kukamilika kwa madarasa hayo kumetatua changamoto ya upungufu wa madarasa katika shule za sekondari.

Akikagua miradi hiyo Mwenyekiti wa CCM Mkoa Ndg Oddo k. Mwisho amesema kama kamati ya CCM mkoa inawapongeza sana watendaji ngazi ya Halmashuri pamoja na wataalam kwa usimamizi na kukamilisha miradhiyo kwa kiwango kizuri na kuwasii wanafunzi kutimiza wajiwao kwa kusoma na kuyatunza majengo hayo . Atahivyo mwenyekiti huyo amesistiza uongozi wa kila kata kuakikisha katika kila maeneo ya taasisi za Serikali kuwa na hati miliki ili kuepuka migogoro inayo weza kujitokeza hapo baadae. Kwaupande mwingine  amewakumbusha wanachi kuwa mwakahuu ni mwaka wa sensa ya watu na makazi hivyo wajitokeze kwa wingi ili waweze kuhesabiwa    

Na Makangury      

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA KUKUSANYA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI February 16, 2022
  • Collection of Own Sources January 14, 2019
  • TANGAZO MAALUMU KWA WAMILIKI WA VIBANDA STENDI KUU YA MABASI MBINGA MJINI November 12, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 23, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru 2022: Halmashauri ya Mji wa Mbinga yafanya vizuri

    April 12, 2022
  • MADIWANI HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA WAPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KIASI CHA TSHS BILIONI 25.34

    February 22, 2022
  • IDARA YA ELIMU SEKONDARI YAWEKA MIKAKATI NAMNA YA KUONGEZA UFAHURU HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA

    February 12, 2022
  • CCM ; WILAYA YA MBINGA KUANZA KUSAJILI WANACHAMA KIELEKTRONIKI

    February 07, 2022
  • Tazama zote

Video

Pongezi
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: +225 – 2640664

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.