• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

LUSONGA YAPOKEA MARADI WA SEQUIP KWA MIKONO MIWILI

Tarehe ya kuwekwa: December 12th, 2021

Zaidi ya shs milioni 400 zimetolewa na Serikali kwa  ajili ya mradi wa  ujezi wa shule ya sekondari katika kata ya Lusonga  Halmashauri ya Mji wa Mbinga, akitambulisha mradi huo kwa wanachi wa kata hiyo, Mkurugenzi wa Halmashuri hiyo Bi . Grace Quintine  amesema serikali imetoa kiasi cha shs milioni 600 ambapo kwa awamu ya kwanza  serikali itatowa million 470  kwajili ya ujenzi wa shule ya Sekondari katika kata ya Lusonga  hivyo kuwaomba wanachi kuupokea maradi  

Hata ivyo Bi. Quintine awataka waanchi wa kata hiyo kuupokea  mradi huo na kuwapa maelekezo kwa muhutasari namna ya utekelezaji wa mradi huo utakavyo fanyika. Amesema mradi wa ujenzi wa shule hiyo utatumia mfumo wa force Account hivyo wanachi wawe tayari katika shirikiana na kuwa  kuunda kamati mbalimbali za  usimamizi wa mradi huo. Kushiriki kama nguvu za wananchi kwa kuchimba  msingi ,kusogeza mawe, na waakina mama kuakikisha maji yana patikana eneo la mradi ili kuweza kumaliza mradi kwa wakati  

Bilioni 130.5 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi wa shule za sekondari 225 kupitia mradi wa kuboresha elimu ya sekondari nchini (Sequip). Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imepeleka kiasi cha Shilingi Bilioni 100.58 kwa ajili ya ujenzi wa shule za sekondari mpya 214 ambazo zitajengwa kwenye Kata za majimbo yote nchini, na Shilingi Bilioni 30 zimepèlekwa kwa ajili ya ujenzi wa shule za sekondari mpya za wasichana kwenye Mikoa 10 (shule 1 kila mkoa) Tanzania Bara. Katika shule za kata Madarasa nane yatajengwa, Maabara za sayansi tatu, Jengola utawala moja, Maktaba moja chumba ICT kimoja. Vyoo vya wanafunzi (Wav 10 &, Was 10) Tank la Maji lita 10,000 Nguzo ya kuweka Tanki  Ujenzi wa Miundombinu ya kunawa mikono  Miundombinu ya Kuvuna/ Kuunganisha Maji

 Mradi huu wa SEQUIP unatekelezwa kwenye eneo la Elimu ya Sekondari kuanzia Kidato cha 1 – 6 kwa muda wa miaka mitano (5) kuanzia mwaka wa fedha 2020/21 – 2024/25 na utekelezaji wake umeelekezwa kwenye maeneo ya vipaumbele vya Serikali yanayogusa moja kwa moja elimu ya sekondari ambayo ni pamoja na ujenzi wa shule mpya za sekondari zipatazo 1,000 zitakazojengwa katika kata ambazo hazina shule za sekondari na maeneo ambayo yana wanafunzi wengi ukilinganisha na miundombinu iliyopo na ujenzi wa shule mpya za sekondari za wasichana za Mikoa 26 ambapo katika kila Mkoa itajengewa shule moja. Ujenzi wa shule hizi utakua unafanyika kadri fedha zitakavyokuwa zinapatikana na kwa sasa tunaendelea na uchambuzi ili kujenga shule za nyongeza 20 kwenye Kata zenye msongamano wa wanafunzi.

Kwaupande wake Mbunge wa jimbo la Mbinga Mjini Mhe; Jonas Mbunda ameishukuru serikali kwa kuyatazama majibo kwa jicho lapekee na kuendela kuwapa fedha kwa ajili ya milaradi mbalimbali  hususani katika Nyanja ya Elimu hivyo kuwaomba wanachi kuupokea na  kusimamia kwa uadilifu  mradi huo kwakuwa mradihuo ni wa kwao ataivyo wanachi wa kata hiyo wameonyesha kuupokea mradi huo kwa kwafuraha kubwa sana nakuhaidi kushirikiana ili kuweza kukamilisha mradi huo kwa wakati     

Na Makangury  

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJIBU YA USAILI WA UDEREVA MAFUNZO KWA VITENDO June 20, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA June 04, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 13, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Wajasiriamali Mbinga Mji washiriki Maonesho ya Sabasaba

    July 08, 2025
  • Mazoezi ya Viungo Mbinga Tc

    July 08, 2025
  • Kheri ya Sikukuu ya Sabasaba

    July 07, 2025
  • Mkurugenzi Halmashauri ya Mbinga Mji atembelea Maonesho ya Sabasaba Jijini Dar es salaam

    July 05, 2025
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.