• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School

MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU, WADAU TAASISI, ZASHIRIKISHWA.

Tarehe ya kuwekwa: July 23rd, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mhe Aziza Ally Mangosongo amekutana na kufanya  kikao na Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya hiyo, Wkuu wa Idara,Taasisi na Wadau mbalimbali  kuunda kamati ya maadalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru katika Ukumbi wa Oddo Mwisho uliopo katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga , unaotarajiwa kufika tarehe 4/9/2021.

Akito tathimi ya mbio za Mwenge 2019 Mhe  Aziza amesema,  kwa mwaka huu Mwenge utapokelewa kiwilaya, hivyo ilikuweza kuweza kupata alama zaidi kulinganisha na Mwaka 2019, hatunabudi kushirikiana kwa pamoja na taasisi wadau mbalimbali ili kuwepo na ufanisi katika mapokezi na hii italeta hamasa kubwa kwa wadau kwa kushirikishwa katika mapokezi hayo.

Atahiyo Mkuu huyo amesisitiza kwa kila kamati kushiriki kikamilifu hususani kamati ya hamasa na idara ya Tehama ikiwa ndio ujumbe mkuu wa Mwenge wa Uhuru  mwaka huu “TEHAMA ni msingi wa Taifa endelevu: Itumie kwa usahii na Uwajibikaji”. Kwa upandewake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga Bi Grace Quintine amemshukuru Mkuu huyo wa Wilaya kwa kuwa nawazojipya la kuzishirikisha taasisi na wadau mbalimbali  itasaidia kupunguza majukumu kwa Halmashauri hizo na kwa wakuu wa idara ambapo awali walikuwa wakilifanya majukumu hayo wenyewe. 

Na Makangury          

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 15, 2022
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA KUKUSANYA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI February 16, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC MBINGA ; Wazazi Msiwashawishi Watoto kufeli Mitihani ya Mwisho

    June 22, 2022
  • Mwenge wa Uhuru 2022: Halmashauri ya Mji wa Mbinga yafanya vizuri

    April 12, 2022
  • MADIWANI HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA WAPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KIASI CHA TSHS BILIONI 25.34

    February 22, 2022
  • IDARA YA ELIMU SEKONDARI YAWEKA MIKAKATI NAMNA YA KUONGEZA UFAHURU HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA

    February 12, 2022
  • Tazama zote

Video

Pongezi
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: +225 – 2640664

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.