• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School
      • Dr. Shein Secondary School
      • Makita Secondary School
      • Luhuwiko Secondary School
      • Mbinga Secondary School
      • Mbambi Secondary School
      • Mikiga Secondary School
      • Mbangamao Secondary School
      • Kikolo Secondary School
      • Kagugu Secondary School
      • Ndela Secondary School
      • Ngwilizi Secondary School
      • LAMATA Scondary School
      • Kindimba Secondary School
      • Lusetu Secondary School
      • Depaul Mbangamao Secondary School
      • Mkwaya Secondary School

MKUU WA WILAYA YA MBINGA AONGOZA MASHABIKI WA YANGA KUTEMBELEA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI

Tarehe ya kuwekwa: November 14th, 2023


Na Erasto George


Mbinga.  Mashabiki wa timu ya Yanga wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga wametembelea kituo cha Mtakatifu Albino kilichopo katika Jimbo Kuu Katoliki la Mbinga (Mtakatifu Kilian) kwa lengo la kutoa msaada kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi.


Katika tukio hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki jana, Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mhe. Aziza Mangosongo aliwaongoza mashabiki hao kutoa msaada wa   Mbuzi, sukari, sharubati, biskuti na kalamu za wino, pamoja na mahitaji mengine.  


Hatua hiyo ilifikiwa na mashabiki hao ikiwa ni kusherekea ushindi  mnene wa magoli 5-1 dhidi ya watani wao Simba SC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara.


Mhe. Aziza aliwataka mashabiki wa Yanga kuendeleza utamaduni huo wa kutembelea kituo hicho bila kujali matokeo wanayopata pindi wawapo uwanjani.



Pia aliwataka mashabiki wa Yanga na Simba kudumisha amani kwa kuwa mpira ni furaha na upendo, hivyo wawe wavumilivu pindi timu zao zinapopata matokeo ya tofauti na ushindi.



“Tuitumie michezo kuchochea na kuilinda amani tuliyonayo na isiwe chanzo cha vurugu,” alisisitiza Mhe. Aziza.


Mlezi wa kituo hicho, Sister Tekla Nombo alimshukuru Mkuu wa Wilaya na mashabiki wa Yanga SC kwa kutembelea kituo hicho na kutoa msaada.



“Kitu mlichokifanya kina thamani kubwa kwa watoto hawa na mmejenga upendo mkubwa ndani ya mioyo yao, tunashukuru sana,” alisema Sister Tekla.



Nae Mwenyekiti wa Halmshauri ya Mji wa Mbinga Mhe. Mh Kelvin Mapunda alimpongeza Mkuu wa Wilaya ya Mbinga na mashabiki wa Yanga kwa  kutembelea kituo hicho cha watoto wenye ulemavu wa ngozi.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA June 04, 2025
  • TANGAZO LA KAZI August 07, 2024
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2022 January 04, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kheri ya Siku ya Mazingira Duniani

    June 05, 2025
  • Utoaji wa dawa za minyoo na vitamin A kuanza Juni 1 Mbinga Mji

    May 31, 2025
  • MBINGA MJI YAFANYA TATHIMINI YA LISHE

    May 29, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA WAWASILI MBINGA MJI

    May 26, 2025
  • Tazama zote

Video

MAONYESHO YA NANENANE 2023 MBINGA
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: 0733216557

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.